Next

SIO LAZIMA RIZKI IWE NI MALI,
UNAWEZA RUZUKIWA
MWANAMKE AKAWA NI MSAADA KWA MAISHA YAKO......✌️

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 30, 2021
Next

Mnyororo Wa Hisia Ni Mwepesi Sana Ila Ni Mgumu Sana Kukatika……..✍️

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 30, 2021
Next

Not every smaile is real, Not every tear is pure. 💯 pic.twitter.com/qUCJFT2eT3

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Not every smaile is real, Not every tear is pure. 💯 https://t.co/Rk7fC0dsZ6

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

" usione najituma sana ukahisi najitesa hapana, nikwasababu nyumbani sina cha kurithi "

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Unaweza Kushindwa Kuishi Na Umpendae Kwa Sababu Macho Yako Yapo Makini Kutazama Makosa Yake Kuliko Mazuri Yake Anayokufanyia..

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Unapoamua kuwa serious na maisha yako na maendeleo yako, pia jiandae kugombana na wengi,
wengi wanataka kukutumia so unapo change wanakua maadui, na hao ndo binadamu wa karne hii!😎

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Kama huna kipato kama chao, basi matumizi yako yasiwe kama yao✍.

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Macho na mioyo ya watu ina nguvu ya kuharibu jambo lako kuliko maneno yao, jifunze kuhifadhi mafanikio yako, mipango yako na hatua zako unazopiga kwenye maisha yako. Tuache ile tabia ya deal done, au Alhamdulillah wakati ndiyo kwanza Dalali kakuonyesha kiwanja tu. JILINDE✍️

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Hakuna watu wanaoumia mioyo kama wale waliotegemea mabaya yakukute na hayajakukuta...

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

Usifanye haraka kutaka kushagiliwa
Usifanye haraka kutaka kutajwa,
Usifanye haraka kutambulika,

Fanya haraka na tumia muda mwingi kunoa uwezo wako..✍️

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 24, 2021
Next

#NewProfilePic pic.twitter.com/YNckDHjfzp

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 23, 2021
Next

Kuwa Na Furaha Haimaanishi Maisha Ni Mazuri Na Sahihi Kwako Bali Ni Kukubali Makosa Yako Ya Zamani, Kukubali Mapungufu Yako Ya Sasa Na Yajayo, Kukubali Sio Kila Mtu Atakupenda, Kukubali Huwezi Kumbadilisha Kila Mtu, Kukubali Kuwa Kila Mtu Na Kila Kitu Kina Mipaka Yake…..✌️ pic.twitter.com/8xx4hKqkvP

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Just posted a photo https://t.co/5hvLMRa5jS

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Miongoni mwa wanaokuchukia, wengi wako kwenye mkumbo wa kukuchukia sababu wamesikia maelezo ya upande mmoja tu dhidi yako. Kadri nawe unavyoamua kuwachukia na kuwaweka mbali, ndio unawaunganisha dhidi yako na kuwathibitishia uongo waliolishwa dhidi yako. Wasogelee uwatenganishe!

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Ukimkwepa mtu wakati wa shida, ndio umechagua pia kujikwepesha nae wakati wa neema yake.

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Kesho unaweza kushangiliwa na walewale waliokuzomea, Usikate Tamaa...

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

Chuki zao zipo kwenye utani sikiliza vizuri wakiwa *wanakutania*

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next

ikumbukwe Ndoto sio kushindana na Marafiki bali kubadilisha hali duni za Nyumbani, Siku Njema...

— Islam Abdallah Omary (@IslamAbdallahO1) October 20, 2021
Next